Soma Biblia Kila Siku 07/2020Sample

Sura ya 13 ina mifano saba ya Yesu. Mifano hii inawasaidia wanafunzi wa Yesu kuelewa vizuri zaidi siri za Ufalme wa Mungu. Lakini kwao ambao hawajamkubali Yesu mifano haieleweki. Wasipoipokea kwa imani hawawezi kuielewa. Wenye mioyo migumu na mizito wanazidi kuwa wagumu wanapolisikia neno la Yesu. Ndugu msomaji, ukiwa na hali ya kutaka kulijua na kulielewa neno la Yesu, ni dalili kwamba moyo wako haujawa mgumu. Uzidi kumwomba Yesu akufunulie, naye hakika atakufunulia kwa nguvu ya Roho Mtaktatifu!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 07/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Recovering Hope: A 5-Day Devotional on the Intersection of Race, Mental Health, and Faith

Destined for the Cross

Overcoming Fear

Holy Week

Pray Like the Bible

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Awakening Faith: Hope From the Global Church

You Say You Believe, but Do You Obey?

Rebuilt Faith
