INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANESample

YESU AMPONYA KIJANA MWENYE PEPO
37 Kesho yake, waliposhuka kutoka mlimani, alikutana na umati mkubwa wa watu.
38 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akapiga kelele, akasema,
“Mwalimu, naomba umwangalie mwanangu, ndiye mtoto wangu wa pekee.
39 Mara kwa mara pepo mchafu humpagaa na kumfanya apige kelele, kisha humwangusha na kumtia kifafa akatokwa na povu kinywani. Huyo pepo mchafu anamtesa sana na hamwachi ila mara chache.
40 Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.
Yesu akajibu akawaambia, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka, nitakaa nanyi na kuwavumilia mpaka lini? Mlete mwanao hapa.”
Hata yule mtoto alipokuwa akija, yule pepo mchafu akamwangusha, akamtia kifafa.
Lakini Yesu akamkemea yule pepo mchafu amtoke, akamponya yule mtoto, akamrudisha kwa baba yake.
43 Watu wote wakastaajabia uweza mkuu wa Mungu.
Scripture
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related Plans

Breath & Blueprint: Your Creative Awakening

When You’re Desperate: 21 Days of Honest Prayer

Faith in Hard Times

God’s Answer to Anxiety: 7 Truths That Calm the Chaos Inside

Transformational Days of Courage for Women

Come Holy Spirit

God Says I Am: Embracing Peace & Walking in Power

Lost Kings | Steward Like a King

The Book of Psalms (30-Day Journey)
