INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANESample

YESU AMPONYA MTU ALIYEZALIWA KIPOFU
Yesu akamjibu, “Umekwisha kumwona, naye anayezungumza nawe, ndiye.”
Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.Yesu akasema,
“Nimekuja ulimwenguni humu kwa ajili ya kuhukumu, ili wale walio vipofu wapate kuona, nao wale wanaoona, wawe vipofu.”
Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa karibu naye wakamsikia na kumwambia, “Je, kweli sisi ni vipofu?”
Yesu akawajibu,
“Kama mngekuwa vipofu kweli, msingekuwa na hatia ya dhambi, lakini kwa kuwa mnasema, ‘Tunaona,’ basi mna hatia.
Scripture
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related Plans

The Way of the Wise

12 Days of Purpose

Resilience Reset

Walk With God: 3 Days of Pilgrimage

Nurturing Your Desire for More in a Healthy Way

The Lighthouse in the Fog

Overcoming Offense

The Path: What if the Way of Jesus Is Different Than You Thought?

How God Doubled Our Income in 18 Days
