INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANESample

YESU AMPONYA MTU ALIYEZALIWA KIPOFU
Yesu akamjibu, “Umekwisha kumwona, naye anayezungumza nawe, ndiye.”
Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.Yesu akasema,
“Nimekuja ulimwenguni humu kwa ajili ya kuhukumu, ili wale walio vipofu wapate kuona, nao wale wanaoona, wawe vipofu.”
Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa karibu naye wakamsikia na kumwambia, “Je, kweli sisi ni vipofu?”
Yesu akawajibu,
“Kama mngekuwa vipofu kweli, msingekuwa na hatia ya dhambi, lakini kwa kuwa mnasema, ‘Tunaona,’ basi mna hatia.
Scripture
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related Plans

Lessons From Ezra

Arid Hearts Lush Hearts

Missionaries in the Marketplace

How to Know Jesus Personally – Start Your Faith Journey Today

A Christian Parent's Guide to Navigating Youth Sports

Connect With God Through Expression | 7-Day Devotional

10 F-Words for the Faith-Driven Entrepreneur

Pray, Lament, Worship and Repent With Psalm 25

Is There Hope for My Marriage? One Good Reason to Stay Together
