INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANESample

MFANO WA MCHUNGAJI MWEMA
Mtu wa kuajiriwa ambaye kondoo si mali yake, amwonapo mbwa mwitu anakuja, hukimbia na kuwaacha kondoo na mbwa mwitu hulishambulia kundi na kulitawanya.
Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.
“Mimi ndimi mchungaji mwema. Ninawajua kondoo wangu nao kondoo wangu wananijua.
Kama vile Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba, nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
"Ninao kondoo wengine ambao si wa zizi hili, inanipasa kuwaleta, nao wataisikia sauti yangu, hivyo patakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja.Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena."
Scripture
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related Plans

Lessons From Ezra

Arid Hearts Lush Hearts

Missionaries in the Marketplace

How to Know Jesus Personally – Start Your Faith Journey Today

A Christian Parent's Guide to Navigating Youth Sports

Connect With God Through Expression | 7-Day Devotional

10 F-Words for the Faith-Driven Entrepreneur

Pray, Lament, Worship and Repent With Psalm 25

Is There Hope for My Marriage? One Good Reason to Stay Together
