Injili Ulimwenguni - Sehemu 3Sample

Hadithi ya nguo mpya na viriba vipya
Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji wakaja na kumwuliza Yesu,
“Imekuwaje kwamba sisi na Mafarisayo tunafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?”
Yesu akawajibu, “Je, wageni wa bwana arusi waweza kuomboleza wakati angali pamoja nao? Wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao, hapo ndipo watakapofunga.
“Hakuna mtu anayeshonea kiraka kipya kwenye nguo kuukuu, kwa maana kile kiraka kitachanika kutoka kwenye hiyo nguo na kuchanika kwa nguo hiyo kutakuwa kubaya zaidi ya hapo mwanzo.
Wala watu hawaweki divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama wakifanya hivyo, viriba vitapasuka na divai itamwagika. Navyo viriba vitaharibika, lakini divai mpya huwekwa kwenye viriba vipya na hivyo divai na viriba huwa salama.”
Scripture
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Related Plans

Beyond Desolation: What to Do When You Have Nothing Left

Partnering With the Holy Spirit to Receive Extraordinarily More

The Key to the Future You Want

Behold the Lion of God

Technicolor Woman

God Made You on Purpose

Behold the Lamb of God

Immersed: Out of the Shallows Into the Deep

Is There Hope for My Marriage? One Good Reason to Stay Together
