Injili Ulimwenguni - Sehemu 3Sample

Yesu amwita Matayo
Yesu alipokuwa akienda kutoka huko, alimwona mtu mmoja jina lake Mathayo akiwa ameketi forodhani mahali pa kutoza ushuru.
“Nifuate.” Yesu akamwambia, Mathayo akaondoka, akamfuata.
"Wakati Yesu alipokuwa ameketi chakulani ndani ya nyumba, watoza ushuru wengi na wenye dhambi wakaja kula pamoja naye na wanafunzi wake.
Mafarisayo walipoona mambo haya, wakawauliza wanafunzi wake, “Kwa nini Mwalimu wenu anakula na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”
Lakini Yesu aliposikia hayo, akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji tabibu, lakini wale walio wagonjwa ndio wanaohitaji tabibu. Nendeni mkajifunze maana ya maneno haya, ‘Nataka rehema, wala si dhabihu.’ Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.”
Scripture
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Related Plans

Overcoming Offense

Forever Open: A Pilgrimage of the Heart

Journey Through Minor Prophets, Part 2

2 Chronicles | Chapter Summaries + Study Questions

Journey Through Jeremiah & Lamentations

1 Samuel | Chapter Summaries + Study Questions

GRACE Abounds for the Spouse

After Your Heart

POWER UP: 5 Days of Inspiration for Connecting to God's Power
