Injili Ulimwenguni - Sehemu 3Sample

Yesu aondoa pepo wachafu
Kisha Yesu akashuka kwenda kapernaumu, mji wa Galilaya na katika siku ya sabato akawa anafundisha. Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.
Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, akapiga kelele kwa nguvu akisema,
"Tuache! tuna nini nawe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakujua wewe ni nani. Wewe ni mtakatifu wa mungu
Basi Yesu akamkemea yule pepo mchafu, akisema, “Nyamaza na umtoke!”
Yule pepo mchafu akamwangusha chini yule mtu mbele yao wote, akatoka pasipo kumdhuru.
Watu wote wakashangaa wakaambiana, “Mafundisho haya ni ya namna gani? Kwa mamlaka na nguvu, anawaamuru pepo wachafu, nao wanatoka!”
Habari zake zikaanza kuenea kila mahali katika sehemu ile.
Scripture
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Related Plans

Faith-Driven Impact Investor: What the Bible Says

The Way of the Wise

YES!!!

Moses: A Journey of Faith and Freedom

Walk With God: 3 Days of Pilgrimage

Prayer Altars: Embracing the Priestly Call to Prayer

Horizon Church August Bible Reading Plan: Prayer & Fasting

One Chapter a Day: Matthew

Journey Through Genesis 12-50
