Hadithi ya Pasaka: Kuchunguza Kifo na Ufufuo wa Yesuគំរូ

Hadithi ya Pasaka: Kuchunguza Kifo na Ufufuo wa Yesu

ថ្ងៃទី 12 ក្នុងចំណោម 16 ថ្ងៃ

Kifo Cha Yesu

Yesu afa, na pazia ya hekalu ikapasuka kwa vipande viwili.

Swali 1: Ni matendo gani mbalimbali yalitokana na kifo cha Yesu pale msalabani? Je, watu

mbalimbali siku hizi wana maoni gani juu ya kifo chake? Je wewe una maoni gani juu ya kifo

chake?

Swali 2: Unaelezeaje mru asiyeamini kuhusu umuhimu wa kifo cha Yesu?

Swali 3: Kifo cha Yesu kinagusaaje maisha yako na hali ya maisha ya yako?

អំពី​គម្រោងអាន​នេះ

Hadithi ya Pasaka: Kuchunguza Kifo na Ufufuo wa Yesu

Kusulubishwa na kufufuka kwa Yesu kumeelezwa katika injili zote nne. Likizo hii ya Pasaka, soma kuhusu jinsi Yesu alivyovumilia usaliti, mateso na kudhalilishwa msalabani kabla ya kubadilisha dunia kupitia tumaini lililotolewa kwa ufufuo wake. Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.

More