1
Zaburi 50:14-15
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Shukrani ikuwe ndiyo sadaka yako kwa Mungu. Umutimizie Mungu Mukubwa ahadi zako. Uniite wakati wa taabu, nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”
Compare
Explore Zaburi 50:14-15
2
Zaburi 50:10-11
maana nyama wote wa pori ni mali yangu, na maelfu ya nyama wa milima ni wangu. Ndege wote wa mwitu ni mali yangu, na viumbe vyote vinavyoishi katika pori ni vyangu.
Explore Zaburi 50:10-11