1
Zaburi 51:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Unijaze furaha na shangwe, unifurahishe tena, mimi ambaye uliniponda.
Compare
Explore Zaburi 51:10
2
Zaburi 51:12
Ee Mungu, uniumbie moyo safi, uweke ndani yangu roho mupya na inayoimarika.
Explore Zaburi 51:12
3
Zaburi 51:11
Ugeuke, usiangalie zambi zangu; uyafute makosa yangu yote.
Explore Zaburi 51:11
4
Zaburi 51:17
Ee Bwana, uniwezeshe kusema, midomo yangu itangaze sifa zako.
Explore Zaburi 51:17
5
Zaburi 51:1-2-1-2
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi inayoelekea wakati nabii Natani alipomufikia kwa kumwonya juu ya uzinzi alioufanya na Batiseba.
Explore Zaburi 51:1-2-1-2
6
Zaburi 51:7
Mimi ni mukosaji tangia kuzaliwa kwangu, mwenye zambi tangia tumbo la mama yangu.
Explore Zaburi 51:7
7
Zaburi 51:4
Unisafishe kabisa kosa langu; unitakase zambi yangu.
Explore Zaburi 51:4