1
Zaburi 49:20
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
atakwenda kukutana na babu zake waliomutangulia kufa, ambao hawawezi kuona tena mwangaza.
Compare
Explore Zaburi 49:20
2
Zaburi 49:15
Wanaongozwa kama kondoo mpaka katika kuzimu; kifo ndiye muchungaji wao. Wanashuka moja kwa moja katika kaburi. Miili yao inaozea huko. Kuzimu inakuwa makao yao.
Explore Zaburi 49:15
3
Zaburi 49:16-17
Lakini Mungu atanikomboa kutoka katika kuzimu, ataniopoa kutoka huko. Usihangaike ukiona mutu anatajirika, wala mali yake ikiongezeka zaidi na zaidi.
Explore Zaburi 49:16-17