1
Zaburi 2:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Uniombe nami nitakupa mataifa kuwa urizi wako, na dunia nzima kuwa mali yako.
Compare
Explore Zaburi 2:8
2
Zaburi 2:11-12
Mumutumikie Yawe kwa woga; muiname mbele ya mwana wake na kutetemeka, kusudi asikasirike, nanyi musiangamie kwa rafla; kwa maana hasira yake inawaka haraka. Heri wote wanaokimbilia kwake!
Explore Zaburi 2:11-12
3
Zaburi 2:2-3
Wafalme wa dunia wanajitayarisha, watawala wanashauriana pamoja kumwasi Yawe na muchaguliwa wake. Wanasema: “Tujiondoe katika utawala wao; tutupilie mbali minyororo yao!”
Explore Zaburi 2:2-3
4
Zaburi 2:10-11-12
Sasa, enyi wafalme, mutumie akili; musikilize onyo hili, enyi watawala wa dunia. Mumutumikie Yawe kwa woga; muiname mbele ya mwana wake na kutetemeka, kusudi asikasirike, nanyi musiangamie kwa rafla; kwa maana hasira yake inawaka haraka.
Explore Zaburi 2:10-11-12