1
Zaburi 1:1-2
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Heri mutu asiyefuata shauri la waovu, asiyeshiriki katika njia ya wenye zambi, wala kukusanyika na wenye kuzarau; lakini anafurahia sheria ya Yawe, na kuifikiri muchana na usiku.
Compare
Explore Zaburi 1:1-2
2
Zaburi 1:3
Huyo ni kama muti uliopandwa kando ya vijito, unaozaa matunda kwa wakati wake, na majani yake hayanyauki hata kidogo. Anafanikiwa katika yote anayofanya.
Explore Zaburi 1:3
3
Zaburi 1:6
Maana Yawe anashugulikia njia ya watu wa haki; lakini njia ya waovu itaangamia.
Explore Zaburi 1:6