Zaburi 2:10-12
Zaburi 2:10-12 SWC02
Sasa, enyi wafalme, mutumie akili; musikilize onyo hili, enyi watawala wa dunia. Mumutumikie Yawe kwa woga; muiname mbele ya mwana wake na kutetemeka, kusudi asikasirike, nanyi musiangamie kwa rafla; kwa maana hasira yake inawaka haraka.






