1
Zaburi 3:3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Wengi wanasema juu yangu: “Hautapata musaada wowote kwa Mungu.”
Compare
Explore Zaburi 3:3
2
Zaburi 3:4-5
Lakini wewe, ee Yawe, unanizunguka kama ngao; kwako ninapata utukufu na ushindi. Ninakulilia kwa sauti, ee Mungu, nawe unanisikiliza kutoka kwenye mulima wako mutakatifu.
Explore Zaburi 3:4-5
3
Zaburi 3:8
Ee Yawe, ee Mungu wangu, wewe unayevunja waadui zangu wote mataya, unayeponda waovu meno, simama sasa uniokoe!
Explore Zaburi 3:8
4
Zaburi 3:6
Ninalala na kupata usingizi, ninaamuka tena, maana wewe ni tegemeo langu.
Explore Zaburi 3:6