Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 01/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 01/2024

SIKU 3 YA 31

Yesu alitwaa mwili katika bikira Mariamu. Mimba yake ilitungwa kwa uwezo Roho Mtakatifu. Mwanzoni, hata Yusufu aliyekuwa mchumba wake Mariamu hakujua mpango wa Mungu. Aliazimu kumwacha kwa siri Mariamu ili kumwepusha na aibu. Yusufu alikuwa mtu wa haki, tena alimpenda Mariamu. Baada ya kujulishwa na Mungu kuwa mimba aliyokuwa nayo Mariamu ni kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, Yusufu akamwoa Mariamu. Mtoto akaitwa Yesu, sawa na malaika alivyomwambia,Utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao(m.21). Jina linaeleza sababu ya kuzaliwa kwake, kwamba atakuwa mkombozi wa ulimwengu.

siku 2siku 4

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 01/2024

Soma Biblia Kila Siku 01/ 2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Januari pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu ch...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha