Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku Julai/2022Mfano

Soma Biblia Kila Siku Julai/2022

SIKU 30 YA 31

Yohana alihubiri hukumu ya Mungu bila kuficha. Alionya kuna hasira itakayokuja, kwa hiyo mtu asiyetubu atatupwa kwenye moto usiozimika. Mahubiri hayo yalikusudia watu waamke, na wakishaamka waje kwa Mungu ili kusamehewa dhambi zao. Hili ni jambo la pekee alilolitenda Yohana: Alihubiri ubatizo wa toba liletalo ondoleo la dhambi (m.3). Kama angalifuata kawaida yao angaliwatuma hekaluni ili waondolewe dhambi zao kwa utoaji sadaka. Lakini sivyo. Hii ni dalili ya majira mapya kukaribia! Ndivyo alivyotabiri Zekaria, baba yake: Uwajulishe watu wake wokovu, Katika kusamehewa dhambi zao (1:77).

Andiko

siku 29siku 31

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku Julai/2022

Soma Biblia Kila Siku Julai/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Julai pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha