Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021Mfano

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

SIKU 5 YA 31

Bado viongozi wanafikiri elimu yao inawawezesha kutega mitego ya kumnasa Yesu ili ashtakiwe. Wayahudi walipaswa kulipa kodi kwa Kaisari. Na hata sisi tusikwepe kodi. Swali la Masadukayo linahusiana na utamaduni wao wa kurithi mke wa ndugu aliyekufa bila kuacha mtoto. Wanasema: Kama wamerithiana ndugu saba, je, mke huyo baada ya ufufuo atakuwa wa nani kati ya wale saba? Yesu anawaambia kuwa tatizo lao ni kutokumfahamu Mungu na Neno lake. Maana hakuna kuoa wala kuolewa baada ya ufufuo wa wafu.

siku 4siku 6

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu k...

More

Tungependa kuishukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha