Soma Biblia Kila Siku 12Mfano

Kurudi kwa Bwana Yesu kutatanguliwa na ishara ya wazi. Na hatimaye atakapoonekana, vilio vya huzuni kwa waliombeza vitaijaza anga. Hoi hoi za furaha zitasikika kwa waliomwamini. Ni siku ya ajabu wateule watakapokuwa wanakusanywa mbele ya Mfalme Yesu kwa mashangilio makuu. Bwana atuonya tusome sana matukio ya ulimwenguni. Ndiyo yanayotuandaa kuelewa bila mashaka kwamba Mwana wa Mungu yu karibu mlangoni. Nayo yatutosha kujiandaa kumlaki Bwana Yesu badala ya kudadisi tarehe ya tukio hilo - tarehe ambayo Mungu ameiweka sirini mwake.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 12 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kitabu cha Mwanzo, Mathayo, 2 Wathesalonike na Zaburi.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 02/20

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Upendo Wa Bure

SOMA BIBLIA KILA SIKU 01/20

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?
