Soma Biblia Kila Siku 12Mfano

Neno la leo ni mwendelezo wa mafundisho ya hali itakavyokuwa siku za mwisho. Hata maeneo ya ibada yatashambuliwa au kuchafuliwa. Dhiki na mateso ya kutisha yatashamiri, na uzushi wa kurudi kwa masihi utasikika. Manabii na Wakristo wa uongo watainuka na kupotosha wengi. Lakini Mungu ashukuriwe! Ameikatisha dhiki ili wateule wake waokoke. Na Yesu ameyabainisha haya kwa sababu ya upendo ili tusiwe gizani. Tafakari matukio yote kwa uelewa utakaokufanya ukeshe kumngoja Bwana atakaporudi.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 12 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kitabu cha Mwanzo, Mathayo, 2 Wathesalonike na Zaburi.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 02/20

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Upendo Wa Bure

SOMA BIBLIA KILA SIKU 01/20

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?
