Soma Biblia Kila Siku 12Mfano

Waisraeli wanapokutana ili kuabudu, wana sababu ya kumsifu Mungu. Licha ya kuwa Mwumbaji wao, yeye pia ni mfalme wao awapambaye kwa wokovu.Kwa kuwa Bwana awaridhia watu wake, huwapamba wenye upole kwa wokovu(m.4). Wao ni wajumbe wa Mungu wanaoeneza utawala wake kwa wanadamu wote. Lakini kama utawala wa Mungu unataka kuenezwa duniani, ni lazima waasi waadhibiwe kwanza. Kwa hiyo hukumu juu ya maadui zake ni sababu ya sifa ya Mungu. Wajibu wa Mkristo wa leo ni kuwa mjumbe wa habari njema za Yesu, Bwana na Mwokozi wetu, kwa watu wote ili waache maasi.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 12 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kitabu cha Mwanzo, Mathayo, 2 Wathesalonike na Zaburi.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 02/20

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Upendo Wa Bure

SOMA BIBLIA KILA SIKU 01/20

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?
