Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 12Mfano

Soma Biblia Kila Siku 12

SIKU 29 YA 31

Zaburi hii iliandikwa na Waisraeli walipokuwa watumwa huko Babeli. Walinzi wa Babeli waliowasimamia watumwa, walijaribu kujifurahisha wakiwaagiza wawaimbie baadhi ya nyimbo za furaha za uzuri wa Yerusalemu. Lakini wangewezaje kusahau kwamba Yerusalemu, mji wao walioupenda, ulikuwa umebomolewa? Wangependelea kuwa wenye kupooza kuliko kufanya jambo kama hilo. Waisraeli walijisikia hamu sana ya kurudi Yerusalemu na kuimba nyimbo za Bwana pale pale! Walijisikia uchungu sana utumwani huko Babeli.

siku 28siku 30

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 12

Soma Biblia Kila Siku 12 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kitabu cha Mwanzo, Mathayo, 2 Wa...

More

Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha