Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Wana wa ukoo wa Ibrahimu, na hao miongoni mwenu wanaomcha Mungu, kwetu sisi neno la wokovu huu limepelekwa (m.26). “Kwetu sisi”ni nani? Wana wa ukoo wa Ibrahimuni Wayahudi. Wanaomcha Munguni mtu wa taifa lolote ambaye anamwamini Mungu wa Wayahudi, kama yule Kornelio (10:1-2). Kwa hiyo “kwetu sisi”ni watu wa mataifa yote. Kwa hao wote, hata Watanzania, wokovu huu umeletwa: Msamaha wa dhambi; na kwa [Yesu]kila amwaminiye huhesabiwa haki (m.38-39) Je, umeupokea?
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
