Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Danieli anamheshimu Mungu kwa kuzikataa zawadi zile ambazo Belshaza amemwahidi yule awezaye kumtafsiria ndoto yake (m.17). Mfalme anaelezwa kuwa hali mbaya iliyopo ni mwendelezo wa uovu wa babaye Nebukadreza. Alipofanikiwa aliota kiburi, lakini baadaye alijinyenyekeza Mungu alipomwadhibu. Unyenyekevu huo mwanawe ameukosa (m.23). Kwa vile Belshaza ametumia visivyo vyombo vya Bwana, matokeo yake ni kuuawa. Nafasi yake ikachukuliwa na Dario. Ujumbe huu unawahusu wote wamkataao Mungu.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
