Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Mfalme Dario alimhakikishia Danieli kuwa Mungu amtumainiye atamwokoa. Hata alifunga kwa ajili yake; ila Dario hakupata amani mpaka alipoenda kwenye tundu lile na kushuhudia kuwa Danieli yu salama. Hebu, zingatia ushuhuda huu: Mungu wangu amemtuma malaika wake naye ameyafumba makanwa ya simba, nao hawakunidhuru, kwa kuwa mbele zake mimi nalionekana kuwa sina hatia; tena, mbele yako, Ee mfalme, sikukosa neno(m.22). Wokovu wa Danieli ukawa ushuhuda kwa mataifa yote (m.25-27).
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
