Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Ujumbe wa Mungu kwa mfalme Belshaza ulimfikia kwa njia ya ndoto kama babaye Nebukadreza. Kwa wasiomjua Mungu, anatumia ndoto kama picha inayobeba maana iliyofichika. Tafsiri huhitajika. Hapa ndoto inakuja kwa sababu Belshaza amekufuru, akitumia vyombo vitakatifu vya ibada kutoka nyumba ya Mungu Yerusalemu kwa matumizi ya dhambi. Alipovitia unajisi vifaa hivyo, Belshaza alipata msongo mwitu, akakosa raha. Aghalabu mwenye dhambi hupata mfadhaiko akikutana na Mungu aliye hai (m.6 na 9).
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
