Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Kunahitajika ujasiri na hekima ya ziada kuthubutu kuingia na kusimama mbele ya matawala kama Nebukadreza na kumpa ujumbe usio wa matumaini bali maangamizi (soma m.25). Mungu ndiye mmiliki wa uumbaji wote, na si mwanadamu. Mungu anagawa mamlaka kwa anayemtaka yeye. Wale anaowaruhusu watawale ni wale wanaojua na kukubali kuwa mwenye mamlaka yuko juu yao. Sharti la mfalme kuendelea kubaki kitini ni kutubu dhambi, kutenda haki na kuhurumia maskini. Nje ya hayo hakuna kudumu. Rudia m.27.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
