Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 1Mfano

Soma Biblia Kila Siku 1

SIKU 26 YA 31

Wayahudi walitaka kumwua. Ndugu zake hawakumwamini (m.5) wala kumpenda. Maana walimpa Yesu ushauri ambao walijua utampambanisha na Wayahudi. Swali muhimu la kujiuliza ni, “Kwa nini hao walimchukia Yesu?” Soma tena m.7! Watu wa ulimwengu huu humchukia Bwana Yesu kwa sababu anawaambia ukweli. Mimi na wewe tunapokeaje ushuhuda wake juu yetu? Tukiupokea tutachukiwa na watu wa ulimwengu huu kwa sababu wanamchukia Yesu. Lakini tuhesabu tuna heri, maana neno lake ni kweli (ling. Mt 5:11-12).

Andiko

siku 25siku 27

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 1

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha