Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 1Mfano

Soma Biblia Kila Siku 1

SIKU 25 YA 31

Baadhi ya wanafunzi wa Yesu hawakumwamini, kwa kuwa walimwelewa kimwili aliposema ndiye chakula kilichoshuka kutoka mbinguni ili wale. Waliona ni neno gumu na wakamwacha Yesu. Je, neno hili ni gumu pia kwako? Au unajibu kama Petro? Zingatia kuwa mwili haufai kitu. Kumwamini Yesu ni zawadi yenye neema toka kwa Mungu kwa njia ya Roho wake ambaye anakaa ndani ya maneno ya Yesu (m.63). Mwombe Mungu akujalie! Halafu msikilize Yesu, maana hakuna mwingine yeyote mwenye maneno ya uzima (m.68).

Andiko

siku 24siku 26

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 1

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha