Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:53-56

Zaburi 119:53-56 BHN

Nashikwa na hasira kali, nionapo waovu wakivunja sheria yako. Masharti yako yamekuwa wimbo wangu, nikiwa huku ugenini. Usiku ninakukumbuka, ee Mwenyezi-Mungu, na kushika sheria yako. Hii ni baraka kubwa kwangu, kwamba nazishika kanuni zako.

Soma Zaburi 119