Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:5-8

Zaburi 119:5-8 BHN

Laiti mwenendo wangu ungeimarika, kwa kuyafuata masharti yako! Nikizingatia amri zako zote, hapo kweli sitaaibishwa. Nitakusifu kwa moyo mnyofu, nikijifunza maagizo yako maadilifu. Nitayafuata masharti yako; usiniache hata kidogo.

Soma Zaburi 119

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 119:5-8