Zaburi 119:5-8
Zaburi 119:5-8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ningependa njia zangu ziwe thabiti, Nizitii amri zako. Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote. Nitakushukuru kwa unyofu wa moyo, Nikiisha kujifunza hukumu za haki yako. Nitazitii amri zako, Usiniache kabisa.
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:5-8 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Ningependa njia zangu ziwe thabiti, Nizitii amri zako. Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote. Nitakushukuru kwa unyofu wa moyo, Nikiisha kujifunza hukumu za haki yako Nitazitii amri zako, Usiniache kabisa
Shirikisha
Soma Zaburi 119