
Utiifu
Wiki 2
Yesu mwenyewe alisema ambaye yeyote anaye mupenda atatii mafundisho Yake. Haijalishi gharama yake kwa kila mutu, utiifu wetu ndio wa muhimu kwa Mungu. "Utiifu" Mpango wa usomaji inachukua jinsi maandiko yanavyo sema kuhusu utiifu: Namna gani kulinda musimamo ya uadilifu, jukumu ya rehema, namna gani utiifu hutufanya huru na hubariki maisha yetu, na kadhalika.
Mchapishaji
Usomaji huu umewekwa na YouVersion.com
Kuhusu Mchapishaji