Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:38-40

Zaburi 119:38-40 BHN

Unitimizie mimi mtumishi wako ahadi yako; ahadi unayowapa wale wanaokuheshimu. Uniokoe na lawama ninazoogopa; maana maagizo yako ni mema. Natamani sana kuzitii kanuni zako; unijalie uhai maana wewe ni mwadilifu.

Soma Zaburi 119