Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:38-40

Zaburi 119:38-40 SRUV

Umthibitishie mtumishi wako ahadi yako, Iliyo ya wanaokucha. Uniondolee laumu niiogopayo, Maana hukumu zako ni njema. Tazama, nimeyatamani mausia yako, Unihuishe kwa haki yako.

Soma Zaburi 119