Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:30-32

Zaburi 119:30-32 BHN

Nimechagua njia ya uaminifu; nimezingatia maagizo yako. Nazingatia maamuzi yako, ee Mwenyezi-Mungu; usikubali niaibishwe! Nitafuata maelekezo ya amri zako, maana unanipa maarifa zaidi.

Soma Zaburi 119