Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:30-32

Zaburi 119:30-32 SRUV

Nimeichagua njia ya uaminifu, Na kuziweka hukumu zako mbele yangu. Nimeambatana na shuhuda zako, Ee BWANA, usiniaibishe. Nitakwenda mbio katika njia ya maagizo yako, Utakaponipanulia ufahamu wangu.

Soma Zaburi 119