Zaburi 119:30-32
Zaburi 119:30-32 NENO
Nimechagua njia ya kweli, nimekaza moyo wangu katika sheria zako. Nimeng’ang’ania sheria zako, Ee Mwenyezi Mungu, usiniache niaibishwe. Nakimbilia katika njia ya maagizo yako, kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru.
Nimechagua njia ya kweli, nimekaza moyo wangu katika sheria zako. Nimeng’ang’ania sheria zako, Ee Mwenyezi Mungu, usiniache niaibishwe. Nakimbilia katika njia ya maagizo yako, kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru.