Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:25-27

Zaburi 119:25-27 BHN

Nagaagaa chini mavumbini; unipe tena uhai kama ulivyoahidi. Nimeungama niliyotenda, nawe ukanijibu; unifundishe masharti yako. Unifundishe namna ya kushika kanuni zako, nami nitayatafakari matendo yako ya ajabu.

Soma Zaburi 119