Zaburi 119:25-27
Zaburi 119:25-27 Biblia Habari Njema (BHN)
Nagaagaa chini mavumbini; unipe tena uhai kama ulivyoahidi. Nimeungama niliyotenda, nawe ukanijibu; unifundishe masharti yako. Unifundishe namna ya kushika kanuni zako, nami nitayatafakari matendo yako ya ajabu.
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:25-27 Biblia Habari Njema (BHN)
Nagaagaa chini mavumbini; unipe tena uhai kama ulivyoahidi. Nimeungama niliyotenda, nawe ukanijibu; unifundishe masharti yako. Unifundishe namna ya kushika kanuni zako, nami nitayatafakari matendo yako ya ajabu.
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:25-27 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nafsi yangu imegandamia mavumbini, Unihuishe sawasawa na neno lako. Nilizisimulia njia zangu ukanijibu, Unifundishe amri zako. Unifahamishe njia ya maagizo yako, Nami nitayatafakari maajabu yako.
Shirikisha
Soma Zaburi 119