Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 18:2-3

Zaburi 18:2-3 SRUV

BWANA ni jabali langu, na boma langu, na mwokozi wangu, Mungu wangu, mwamba wangu ninayemkimbilia, Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu. Namwita BWANA astahiliye kusifiwa, Hivyo nitaokoka na adui zangu.

Soma Zaburi 18

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 18:2-3