Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 18:2-3

Zaburi 18:2-3 BHN

Mwenyezi-Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu na mkombozi wangu; Mungu wangu, mwamba wangu ninayemkimbilia usalama; ngao yangu, nguvu za wokovu wangu na ngome yangu. Namwita Mwenyezi-Mungu astahiliye sifa anisaidie, nami naokolewa kutoka kwa maadui zangu.

Soma Zaburi 18

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 18:2-3