Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:83-85

Zaburi 119:83-85 SRUV

Maana nimekuwa kama kiriba katika moshi, Sikuzisahau amri zako. Siku za mtumishi wako ni ngapi, Lini utakapowahukumu wale wanaonifuatia? Wenye kiburi wamenichimbia mashimo, Ambao hawaifuati sheria yako.

Soma Zaburi 119