Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 119:83-85

Zab 119:83-85 SUV

Maana nimekuwa kama kiriba katika moshi, Sikuzisahau amri zako. Siku za mtumishi wako ni ngapi, Lini utakapowahukumu wale wanaonifuatia? Wenye kiburi wamenichimbia mashimo, Ambao hawaifuati sheria yako.