Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 119:83-85

Zab 119:83-85 SUV

Maana nimekuwa kama kiriba katika moshi, Sikuzisahau amri zako. Siku za mtumishi wako ni ngapi, Lini utakapowahukumu wale wanaonifuatia? Wenye kiburi wamenichimbia mashimo, Ambao hawaifuati sheria yako.

Soma Zab 119