Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:83-85

Zaburi 119:83-85 BHN

Nimekunjamana kama kiriba katika moshi, hata hivyo sijasahau masharti yako. Mimi mtumishi wako nitasubiri mpaka lini? Utawaadhibu lini wale wanaonidhulumu? Wenye kiburi wamenichimbia mashimo, watu ambao hawafuati sheria yako.

Soma Zaburi 119