Zaburi 119:83-85
Zaburi 119:83-85 NENO
Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi, bado sijasahau maagizo yako. Mtumishi wako itampasa angoje hadi lini? Ni lini utawaadhibu washtaki wangu? Wenye majivuno wananichimbia mashimo, kinyume na sheria yako.
Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi, bado sijasahau maagizo yako. Mtumishi wako itampasa angoje hadi lini? Ni lini utawaadhibu washtaki wangu? Wenye majivuno wananichimbia mashimo, kinyume na sheria yako.