Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:83-85

Zaburi 119:83-85 NENO

Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi, bado sijasahau maagizo yako. Mtumishi wako itampasa angoje hadi lini? Ni lini utawaadhibu washtaki wangu? Wenye majivuno wananichimbia mashimo, kinyume na sheria yako.