Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:41-42

Zaburi 119:41-42 SRUV

Ee BWANA, fadhili zako zinifikie na mimi, Naam, wokovu wako kulingana na ahadi yako. Nami nitamjibu neno anilaumuye, Kwa maana nilitumainia neno lako.

Soma Zaburi 119