Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:41-42

Zaburi 119:41-42 BHN

Fadhili zako zinijie, ee Mwenyezi-Mungu; uniokoe kama ulivyoahidi. Hapo nitaweza kuwajibu hao wanaonitukana, maana mimi nina imani sana na neno lako.

Soma Zaburi 119