Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:41-42

Zaburi 119:41-42 NENO

Ee Mwenyezi Mungu, upendo wako usiokoma unijie, wokovu wako sawasawa na ahadi yako, ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki, kwa kuwa ninalitumainia neno lako.