Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 119:46-48

Zab 119:46-48 SUV

Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu. Nami nitajifurahisha sana kwa maagizo yako, Ambayo nimeyapenda. Na mikono yangu nitayainulia maagizo yako niliyoyapenda, Nami nitazitafakari amri zako.

Soma Zab 119